2 Mambo ya Nyakati 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Baadaye Wamoabu+ na Waamoni,+ pamoja na baadhi ya Waamonimu,* wakaja kupigana vita na Yehoshafati. 2 Mambo ya Nyakati 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa tazama, ndio hawa wanaume wa Amoni, Moabu, na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuwaruhusu Waisraeli wawavamie walipotoka nchini Misri. Waligeuka na kwenda mbali nao na hawakuwaangamiza.+
20 Baadaye Wamoabu+ na Waamoni,+ pamoja na baadhi ya Waamonimu,* wakaja kupigana vita na Yehoshafati.
10 Sasa tazama, ndio hawa wanaume wa Amoni, Moabu, na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuwaruhusu Waisraeli wawavamie walipotoka nchini Misri. Waligeuka na kwenda mbali nao na hawakuwaangamiza.+