17 Kisha Waisraeli wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Edomu,+ wakisema, “Tafadhali turuhusu tupitie katika nchi yako,” lakini mfalme wa Edomu akakataa. Kisha wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Moabu,+ naye pia akakataa. Basi Waisraeli wakaendelea kukaa Kadeshi.+