Mwanzo 35:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Isaka aliishi miaka 180.+ 29 Kisha Isaka akakata pumzi na kufa, akazikwa pamoja na watu wake,* baada ya kuishi maisha marefu na yenye kuridhisha;* na Esau na Yakobo wanawe wakamzika.+
28 Isaka aliishi miaka 180.+ 29 Kisha Isaka akakata pumzi na kufa, akazikwa pamoja na watu wake,* baada ya kuishi maisha marefu na yenye kuridhisha;* na Esau na Yakobo wanawe wakamzika.+