Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kwa mara nyingine tena Waedomu walivamia nchi ya Yuda, wakaishambulia na kuchukua mateka.

  • Zaburi 137:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kumbuka, Ee Yehova,

      Mambo ambayo Waedomu walisema siku ambayo Yerusalemu lilianguka:

      “Libomoeni! Libomoeni mpaka kwenye misingi yake!”+

  • Maombolezo 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Adhabu ya dhambi yako, Ee binti ya Sayuni, imekwisha.

      Hatakupeleka tena uhamishoni.+

      Lakini ataukazia uangalifu uovu wako, Ee binti ya Edomu.

      Atafunua dhambi zako.+

  • Amosi 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova anasema hivi:

      ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

      Kwa sababu alimfuatia kwa upanga ndugu yake mwenyewe,+

      Na kwa sababu alikataa kuonyesha rehema;

      Katika hasira yake anaendelea kuwararuararua bila huruma,

      Na bado anaendelea kuwakasirikia vikali.+

  • Obadia 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ya ukatili uliomtendea ndugu yako Yakobo,+

      Aibu itakufunika,+

      Nawe utaangamia milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki