29 Kwa maana, tazama! ninaanza kuleta msiba+ juu ya jiji ambalo linaitwa kwa jina langu, nanyi, je, mnapaswa kwa vyovyote kuachwa bila kuadhibiwa?”’+
“‘Hamtaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana kuna upanga ambao ninaita juu ya wakaaji wote wa dunia,’ asema Yehova wa majeshi.