Yeremia 25:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana tazama! ikiwa ninaleta msiba kwanza juu ya jiji linaloitwa kwa jina langu,+ je, ninyi pia hampaswi kuadhibiwa?”’+ “‘Hamtakosa kuadhibiwa, kwa maana ninauita upanga dhidi ya wakaaji wote wa dunia,’ asema Yehova wa majeshi. Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:29 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 21
29 Kwa maana tazama! ikiwa ninaleta msiba kwanza juu ya jiji linaloitwa kwa jina langu,+ je, ninyi pia hampaswi kuadhibiwa?”’+ “‘Hamtakosa kuadhibiwa, kwa maana ninauita upanga dhidi ya wakaaji wote wa dunia,’ asema Yehova wa majeshi.