Yeremia 49:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Tazama! Ikiwa wale ambao hawajahukumiwa kunywa kikombe lazima wakinywe, je, wewe utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana lazima ukinywe.”+ Obadia 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana kama mlivyokunywa divai kwenye mlima wangu mtakatifu,Ndivyo mataifa yote yatakavyoendelea kunywa hasira yangu kama divai.+ Yatakunywa na kumeza hasira yangu,Nayo yatatoweka kana kwamba hayajawahi kuwepo.
12 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Tazama! Ikiwa wale ambao hawajahukumiwa kunywa kikombe lazima wakinywe, je, wewe utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana lazima ukinywe.”+
16 Kwa maana kama mlivyokunywa divai kwenye mlima wangu mtakatifu,Ndivyo mataifa yote yatakavyoendelea kunywa hasira yangu kama divai.+ Yatakunywa na kumeza hasira yangu,Nayo yatatoweka kana kwamba hayajawahi kuwepo.