Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tazama! Mtu mwadilifu—katika dunia atapewa thawabu.+ Basi mwovu na mtenda-dhambi watapewa thawabu hata zaidi!+

  • Yeremia 49:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama! Ingawa si desturi yao kukinywa kikombe, bila shaka watakinywa.+ Na wewe mwenyewe, je, utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana utakunywa bila shaka.”+

  • Obadia 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana kama ninyi mlivyokunywa kwenye mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote watakavyoendelea kunywa daima.+ Nao watakunywa na kumeza wawe kana kwamba hawakupata kuwapo kamwe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki