Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

      Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela

  • Isaya 43:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ukipita katikati ya maji,+ nitakuwa pamoja nawe;+ na katikati ya mito, haitafurika juu yako.+ Ukitembea katikati ya moto, hutaungua, wala mwali wa moto hautakuchoma.+

  • Yeremia 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda,+ kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikukomboe.’”+

  • Yeremia 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Nami nimekufanya wewe kuwa ukuta wa shaba wenye ngome kwa watu hawa;+ nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda.+ Kwa maana mimi niko pamoja nawe, ili kukuokoa na kukukomboa,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo,” asema Yehova, “wala usiingiwe na hofu, Ee Israeli.+ Kwa maana, tazama, ninakuokoa wewe kutoka mbali na uzao wako kutoka katika nchi yao ya utekwani.+ Na hakika Yakobo atarudi na kuwa huru kutokana na usumbufu naye atastarehe, wala hakutakuwa na mtu yeyote anayemtetemesha.”+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki