Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Katika siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa hivi, Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+

  • Yeremia 46:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo, wala usiingiwe na hofu, Ee Israeli.+ Kwa maana, tazama, ninakuokoa kutoka mbali na uzao wako kutoka katika nchi yako ya utekwani.+ Na hakika Yakobo atarudi, hatakuwa na usumbufu naye atastarehe na kusiwe na yeyote wa kumtetemesha.+

  • Ezekieli 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+

  • Hosea 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa ajili yao hakika nitafanya agano siku hiyo na mnyama wa mwituni+ na kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kitu kinachotambaa cha nchi, nami nitavunja kutoka katika nchi upinde na upanga na vita,+ nami nitawafanya walale salama salimini.+

  • Mika 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wataketi, kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha;+ kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki