5 Na hakika kupura kwenu kutafikia ukusanyaji wenu wa zabibu, nao ukusanyaji wa zabibu utafikia upandaji wa mbegu; na hakika mtakula mkate wenu na kushiba+ na kukaa kwa usalama katika nchi yenu.+
25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+
4 Nao wataketi, kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha;+ kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hivyo.+