Mambo ya Walawi 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu na kufuata maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda. Ndipo mtakapokaa katika nchi hiyo kwa usalama.+ Methali 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa habari yake mtu anayenisikiliza, yeye atakaa salama+ wala hatasumbuliwa na hofu ya msiba.”+ Yeremia 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa katika usalama.+ Na hili ndilo jina lake atakaloitwa, Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+
18 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu na kufuata maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda. Ndipo mtakapokaa katika nchi hiyo kwa usalama.+
6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa katika usalama.+ Na hili ndilo jina lake atakaloitwa, Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+