6 Na mbwa-mwitu kwa kweli atakaa pamoja na mwana-kondoo+ kwa muda fulani, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi, na ndama na mwana-simba mwenye manyoya shingoni+ na mnyama aliyelishwa vizuri wote pamoja;+ na mvulana mdogo atakuwa kiongozi juu yao.
25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+