Hosea 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+ Hosea Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:18 w05 11/15 20; g05 9/8 12 Hosea Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:18 The Watchtower,11/15/2005, uku. 20 Amkeni!,9/8/2005, uku. 12
18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+