Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa

      Na kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi.

      Watafua panga zao ziwe majembe ya plau

      Na mikuki yao iwe miundu.+

      Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,

      Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+

  • Ezekieli 39:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hakika wakaaji wa majiji ya Israeli watatoka nje na kuwasha moto kwa silaha—ngao ndogo* na ngao kubwa, pinde na mishale, rungu za vita* na mikuki. Nao watazitumia kuwasha moto+ kwa miaka saba.

  • Zekaria 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nitaondoa gari la vita Efraimu

      Na farasi kutoka Yerusalemu.

      Upinde wa vita utachukuliwa.

      Naye atatangaza amani kwa mataifa;+

      Utawala wake utaenea kutoka bahari mpaka bahari

      Na kutoka Mto Efrati mpaka kwenye miisho ya dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki