Ezekieli 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wakaaji wa majiji ya Israeli hakika wataenda na kuteketeza na kuwasha mioto kwa silaha na ngao ndogo na ngao kubwa,—kwa pinde na kwa mishale na kwa fimbo na kwa mikuki; nao watazitumia kuwasha mioto+ kwa miaka saba. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:9 Ufahamu, uku. 169 Mnara wa Mlinzi,8/15/1989, uku. 14
9 Na wakaaji wa majiji ya Israeli hakika wataenda na kuteketeza na kuwasha mioto kwa silaha na ngao ndogo na ngao kubwa,—kwa pinde na kwa mishale na kwa fimbo na kwa mikuki; nao watazitumia kuwasha mioto+ kwa miaka saba.