Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Majira yenu ya kupura nafaka yataendelea mpaka wakati wa kuvuna zabibu, na wakati wa kuvuna zabibu utaendelea mpaka wakati wa kupanda; nanyi mtakula mkate na kushiba na kuishi kwa usalama katika nchi yenu.+ 6 Nitaleta amani nchini,+ nanyi mtalala na hakuna yeyote atakayewaogopesha;+ nami nitawaondoa nchini wanyama wote wakali wa mwituni, na hakuna mtu yeyote atakayewashambulia kwa upanga katika nchi yenu.

  • Yeremia 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa kwa usalama.+ Naye ataitwa jina hili: Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+

  • Mika 4:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa mengi+

      Na kunyoosha* mambo kuhusiana na mataifa yenye nguvu yaliyo mbali.

      Watafua panga zao ziwe majembe ya plau

      Na mikuki yao iwe miundu.+

      Taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine,

      Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+

       4 Wataketi,* kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+

      Na hakuna yeyote atakayewaogopesha,+

      Kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki