Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+

      Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+

      Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+

      Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+

  • Zekaria 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nitaondoa gari la vita Efraimu

      Na farasi kutoka Yerusalemu.

      Upinde wa vita utachukuliwa.

      Naye atatangaza amani kwa mataifa;+

      Utawala wake utaenea kutoka bahari mpaka bahari

      Na kutoka Mto Efrati mpaka kwenye miisho ya dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki