Hosea 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na kwa ajili yao hakika nitafanya agano siku hiyo na mnyama wa mwituni+ na kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kitu kinachotambaa cha nchi, nami nitavunja kutoka katika nchi upinde na upanga na vita,+ nami nitawafanya walale salama salimini.+ Hosea Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:18 w05 11/15 20; g05 9/8 12 Hosea Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:18 The Watchtower,11/15/2005, uku. 20 Amkeni!,9/8/2005, uku. 12
18 Na kwa ajili yao hakika nitafanya agano siku hiyo na mnyama wa mwituni+ na kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kitu kinachotambaa cha nchi, nami nitavunja kutoka katika nchi upinde na upanga na vita,+ nami nitawafanya walale salama salimini.+