4 Nisikilizeni, enyi watu wangu,
Na mnitegee sikio, taifa langu.+
Kwa maana sheria itatoka kwangu,+
Nami nitaifanya haki yangu kuwa nuru kwa watu.+
5 Uadilifu wangu unakaribia.+
Wokovu wangu utatoka,+
Na mikono yangu itayahukumu mataifa.+
Visiwa vitanitumaini mimi,+
Navyo vitaungojea mkono wangu.