Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova atawavunjavunja wale wanaopigana naye;*+

      Atanguruma dhidi yao kutoka mbinguni.+

      Yehova atahukumu mpaka miisho ya dunia,+

      Atampa nguvu mfalme wake,+

      Na kuikweza pembe ya* mtiwa-mafuta wake.”+

  • Zaburi 96:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja,*

      Anakuja kuihukumu dunia.

      Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+

      Na mataifa kwa uaminifu wake.+

  • Isaya 51:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nisikilizeni, enyi watu wangu,

      Na mnitegee sikio, taifa langu.+

      Kwa maana sheria itatoka kwangu,+

      Nami nitaifanya haki yangu kuwa nuru kwa watu.+

       5 Uadilifu wangu unakaribia.+

      Wokovu wangu utatoka,+

      Na mikono yangu itayahukumu mataifa.+

      Visiwa vitanitumaini mimi,+

      Navyo vitaungojea mkono wangu.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki