Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+ Isaya 56:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Yehova anasema hivi: “Tekelezeni haki,+ na mtende uadilifu,Kwa maana wokovu wangu utakuja hivi karibuniNa uadilifu wangu utafunuliwa.+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
56 Yehova anasema hivi: “Tekelezeni haki,+ na mtende uadilifu,Kwa maana wokovu wangu utakuja hivi karibuniNa uadilifu wangu utafunuliwa.+