Isaya 56:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Yehova amesema hivi: “Shikeni haki,+ na mfanye yaliyo ya uadilifu.+ Kwa maana wokovu wangu unakaribia kuingia,+ na uadilifu wangu kufunuliwa.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 56:1 ip-2 247-248 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 56:1 Unabii wa Isaya II, kur. 247-248
56 Yehova amesema hivi: “Shikeni haki,+ na mfanye yaliyo ya uadilifu.+ Kwa maana wokovu wangu unakaribia kuingia,+ na uadilifu wangu kufunuliwa.+