-
Wageni Wakusanywa Kwenye Nyumba ya Mungu ya SalaUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Matakwa ya Wokovu
3. Ni lazima Wayahudi wafanye nini ikiwa wanatafuta wokovu kutoka kwa Mungu?
3 Isaya sura ya 56 inaanza kwa kuwapa Wayahudi onyo la upole. Hata hivyo, waabudu wote wa kweli wanapaswa kusikiza yale ambayo nabii anaandika. Tunasoma hivi: “BWANA asema hivi, Shikeni hukumu, mkatende haki; kwa maana wokovu wangu u karibu kuja, na haki yangu kufunuliwa.
-
-
Wageni Wakusanywa Kwenye Nyumba ya Mungu ya SalaUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Ni lazima wakaaji wa Yuda wanaotafuta wokovu kutoka kwa Mungu waitii Sheria ya Kimusa, wakishika haki na kuishi maisha ya uadilifu. Kwa nini? Kwa sababu Yehova mwenyewe ni mwadilifu. Wale wanaofuatia uadilifu wanafurahi kwa sababu ya kukubaliwa na Yehova.—Zaburi 144:15b.
-