Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova atawavunjavunja wale wanaopigana naye;*+

      Atanguruma dhidi yao kutoka mbinguni.+

      Yehova atahukumu mpaka miisho ya dunia,+

      Atampa nguvu mfalme wake,+

      Na kuikweza pembe ya* mtiwa-mafuta wake.”+

  • Isaya 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa

      Na kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi.

      Watafua panga zao ziwe majembe ya plau

      Na mikuki yao iwe miundu.+

      Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,

      Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki