Zekaria 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu sana,Nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nitawarudisha,Kwa maana nitawaonyesha rehema;+Nao watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwatupa;+Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.
6 Nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu sana,Nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nitawarudisha,Kwa maana nitawaonyesha rehema;+Nao watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwatupa;+Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.