Yeremia 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watakuja wakilia.+ Nitawaongoza huku wakiomba kibali. Nitawaongoza kwenye vijito vya* maji,+Kwenye kijia tambarare ambacho hakitawafanya wajikwae. Kwa maana mimi ni Baba ya Israeli, naye Efraimu ni mzaliwa wangu wa kwanza.”+ Yeremia 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+ Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka. Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+ Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+
9 Watakuja wakilia.+ Nitawaongoza huku wakiomba kibali. Nitawaongoza kwenye vijito vya* maji,+Kwenye kijia tambarare ambacho hakitawafanya wajikwae. Kwa maana mimi ni Baba ya Israeli, naye Efraimu ni mzaliwa wangu wa kwanza.”+
20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+ Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka. Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+ Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+