Yeremia 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+ 1 Wakorintho 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, tunapohukumiwa,+ Yehova+ anatutia nidhamu, ili tusihukumiwe+ pamoja na ulimwengu.+
24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+