15 Na malaika mwingine akatokea katika patakatifu pa hekalu, akimpaazia sauti kubwa yule anayeketi juu ya lile wingu: “Tia ndani mundu wako uvune,+ kwa sababu saa imekuja ya kuvuna, kwa maana mavuno+ ya dunia yameiva kabisa.”+
15 Na upanga mrefu mkali unachomoza kutoka kinywani mwake,+ ili ayapige mataifa nao, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Yeye anakanyaga pia shinikizo la divai+ ya hasira ya ghadhabu ya Mungu+ Mweza-Yote.