27 naye atawachunga watu kwa fimbo ya chuma+ hivi kwamba watavunjwa vipande-vipande kama vyombo vya udongo,+ kama vile nilivyopokea kutoka kwa Baba yangu,
5 Na mwanamke yule akamzaa mwana,+ mwanamume, atakayechunga mataifa yote kwa fimbo ya chuma.+ Na mtoto wake akanyakuliwa mpaka kwa Mungu na kwenye kiti chake cha ufalme.+