12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+
20 kwa kumpenda Yehova Mungu wako,+ kwa kuisikiliza sauti yake na kwa kushikamana naye;+ kwa maana yeye ni uhai wako na urefu wa siku zako,+ ili ukae katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo kwamba atawapa wao.”+