6 Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu, kwamba yeye ana kiburi sana;+ majivuno yake na kiburi chake na ghadhabu yake+—maneno yake matupu hayatakuwa hivyo.+
29 “Tumesikia habari za kiburi cha Moabu+—ana majivuno sana—habari za ustahiki wake na za kiburi chake na za majivuno yake na za kuinuka kwa moyo wake.”+
3 Kimbelembele cha moyo wako ndicho kimekudanganya,+ wewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba,+ kwenye kilele ambapo yeye hukaa, akisema moyoni mwake, ‘Ni nani atakayenishusha chini duniani?’