2 Mambo ya Nyakati 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wana wa Yuda wakakamata watu elfu kumi wakiwa hai. Basi wakawaleta kwenye kilele cha mwamba, wakawatupa kutoka kilele cha mwamba ule; nao wote wakapasuka.+
12 Na wana wa Yuda wakakamata watu elfu kumi wakiwa hai. Basi wakawaleta kwenye kilele cha mwamba, wakawatupa kutoka kilele cha mwamba ule; nao wote wakapasuka.+