11 Naye atapiga mikono yake katikati yake kama mwogeleaji anavyoifanya mikono yake, naye atashusha majivuno+ yake kwa mwendo wa udanganyifu wa mikono yake.
6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+