Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nawe utawaokoa watu wanyenyekevu;+

      Bali macho yako, yako dhidi ya wenye majivuno, ili uwashushe.+

  • Zaburi 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa sababu watu wenye kuteseka wewe mwenyewe utawaokoa;+

      Bali macho yenye majivuno utayashusha.+

  • Methali 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova ataibomoa nyumba ya watu waliojiinua,+ lakini atauweka imara mpaka wa mjane.+

  • Isaya 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+

  • Danieli 4:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki