2 Samweli 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nawe utawaokoa watu wanyenyekevu;+Bali macho yako, yako dhidi ya wenye majivuno, ili uwashushe.+ Zaburi 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa sababu watu wenye kuteseka wewe mwenyewe utawaokoa;+Bali macho yenye majivuno utayashusha.+ Methali 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova ataibomoa nyumba ya watu waliojiinua,+ lakini atauweka imara mpaka wa mjane.+ Isaya 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+ Danieli 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+
11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+
37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+