Ayubu 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ili kukifanya kilio cha mtu wa hali ya chini kimfikie;Na hivyo yeye hukisikia kilio cha watu wanaoteseka.+ Sefania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+
28 Ili kukifanya kilio cha mtu wa hali ya chini kimfikie;Na hivyo yeye hukisikia kilio cha watu wanaoteseka.+
12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+