Kutoka 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa najua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu+ mingine yote kwa sababu ya jambo hili walilotenda kwa kimbelembele dhidi yao.” Ayubu 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Milipuko mikali ya hasira yako na imwagike,+Na uone kila mtu mwenye majivuno na umshushe chini. Yakobo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+
11 Sasa najua kwamba Yehova ni mkuu kuliko miungu+ mingine yote kwa sababu ya jambo hili walilotenda kwa kimbelembele dhidi yao.”
6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+