Danieli 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Sasa mimi, Nebukadneza, ninamsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu anaweza kuwaaibisha wale wanaotembea katika kiburi.”+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 4:37 dp 93 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:37 Unabii wa Danieli, uku. 93 Mnara wa Mlinzi,12/1/1988, uku. 13
37 “Sasa mimi, Nebukadneza, ninamsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu anaweza kuwaaibisha wale wanaotembea katika kiburi.”+