Danieli 4:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ninafurahi kuwatangazia ishara na maajabu ambayo Mungu Aliye Juu Zaidi amenifanyia. 3 Jinsi ishara zake zilivyo kuu, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu! Ufalme wake ni ufalme wa milele, na utawala wake unadumu kizazi hata kizazi.+
2 Ninafurahi kuwatangazia ishara na maajabu ambayo Mungu Aliye Juu Zaidi amenifanyia. 3 Jinsi ishara zake zilivyo kuu, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu! Ufalme wake ni ufalme wa milele, na utawala wake unadumu kizazi hata kizazi.+