Zaburi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova ni Mfalme milele na milele.+ Mataifa yameangamia kutoka duniani.+ Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla milima haijazaliwaAu kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.
2 Kabla milima haijazaliwaAu kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.