Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova atatawala akiwa mfalme milele na milele.+

  • Zaburi 145:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,

      Na mamlaka yako hudumu katika vizazi vyote.+

  • Yeremia 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.

      Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+

      Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+

      Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.

  • Danieli 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Mwishoni mwa kipindi hicho,+ mimi, Nebukadneza, nilitazama juu mbinguni, na ufahamu wangu ukanirudia; nami nikamsifu Aliye Juu Zaidi, nikamsifu na kumtukuza Yeye anayeishi milele, kwa sababu utawala wake ni utawala wa milele na ufalme wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+

  • 1 Timotheo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki