Zaburi 146:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova atakuwa Mfalme milele,+Mungu wako, Ee Sayuni, kizazi baada ya kizazi. Msifuni Yah!* 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.