Isaya 43:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+Ili mjue na kuwa na imani kwangu*Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula chakula kilichotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ ulimwenguni na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+Ili mjue na kuwa na imani kwangu*Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+
4 Sasa kuhusu kula chakula kilichotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ ulimwenguni na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+