Zaburi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova ni Mfalme milele na milele.+ Mataifa yameangamia kutoka duniani.+ Danieli 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jinsi ishara zake zilivyo kuu, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu! Ufalme wake ni ufalme wa milele, na utawala wake unadumu kizazi hata kizazi.+
3 Jinsi ishara zake zilivyo kuu, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu! Ufalme wake ni ufalme wa milele, na utawala wake unadumu kizazi hata kizazi.+