Danieli 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jinsi ishara zake zilivyo kuu, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu! Ufalme wake ni ufalme wa milele, na utawala wake unadumu kizazi hata kizazi.+ Habakuki 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, wewe si wa tangu milele, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.*+ Ee Yehova, uliwachagua ili watekeleze hukumu;Mwamba wangu,+ uliwaweka ili watekeleze adhabu.*+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
3 Jinsi ishara zake zilivyo kuu, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu! Ufalme wake ni ufalme wa milele, na utawala wake unadumu kizazi hata kizazi.+
12 Je, wewe si wa tangu milele, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.*+ Ee Yehova, uliwachagua ili watekeleze hukumu;Mwamba wangu,+ uliwaweka ili watekeleze adhabu.*+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+