Zaburi 93:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kiti chako cha ufalme kiliimarishwa kabisa zamani za kale;+Umekuwapo tangu milele.+ Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+ Habakuki 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, wewe si wa tangu milele, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.*+ Ee Yehova, uliwachagua ili watekeleze hukumu;Mwamba wangu,+ uliwaweka ili watekeleze adhabu.*+ 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina. Ufunuo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+
12 Je, wewe si wa tangu milele, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.*+ Ee Yehova, uliwachagua ili watekeleze hukumu;Mwamba wangu,+ uliwaweka ili watekeleze adhabu.*+
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+