Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 93:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kiti chako cha ufalme kiliimarishwa kabisa zamani za kale;+

      Umekuwapo tangu milele.+

  • Isaya 40:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Je, hujui? Je, hujasikia?

      Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+

      Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+

      Uelewaji wake hauchunguziki.*+

  • Habakuki 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, wewe si wa tangu milele, Ee Yehova?+

      Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.*+

      Ee Yehova, uliwachagua ili watekeleze hukumu;

      Mwamba wangu,+ uliwaweka ili watekeleze adhabu.*+

  • 1 Timotheo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.

  • Ufunuo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki