Mwanzo 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Baada ya hayo Abrahamu akapanda mti wa mwesheli huko Beer-sheba, na huko akaliitia jina la Yehova,+ Mungu wa milele.+ Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla milima haijazaliwaAu kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake. 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.
33 Baada ya hayo Abrahamu akapanda mti wa mwesheli huko Beer-sheba, na huko akaliitia jina la Yehova,+ Mungu wa milele.+
2 Kabla milima haijazaliwaAu kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika+ na asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele. Amina.