Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye akatoka huko na kwenda katika eneo lenye milima upande wa mashariki wa Betheli+ na kupiga hema lake, jiji la Betheli likiwa upande wa magharibi na Ai+ upande wa mashariki. Huko, akamjengea Yehova+ madhabahu na kuanza kuliitia jina la Yehova.+ 9 Baadaye, Abramu akavunja kambi na kusafiri kuelekea Negebu,+ akihamisha kambi yake kutoka sehemu moja hadi nyingine.

  • Mwanzo 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi akajenga madhabahu huko na kuliitia jina la Yehova.+ Na Isaka akapiga hema lake huko,+ na watumishi wake wakachimba kisima huko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki