Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 139:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kabla sijatamka neno lolote kwa ulimi wangu,

      Tazama! Ee Yehova, tayari unalijua vizuri.+

  • Zaburi 139:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ujuzi huo unazidi ufahamu wangu.*

      Uko juu sana nisiweze kuufikia.*+

  • Zaburi 147:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Bwana wetu ni mkuu naye ana nguvu nyingi;+

      Uelewaji wake haupimiki.+

  • Isaya 55:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 “Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,

      Ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu

      Na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+

  • Waroma 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri wa Mungu na hekima na ujuzi! Jinsi hukumu zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!

  • 1 Wakorintho 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,* ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili ya Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki