Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Hizi ni kingo tu za njia zake;+

      Ni mnong’ono hafifu tu uliosikika kumhusu!

      Basi ni nani anayeweza kuelewa mngurumo wake wenye nguvu?”+

  • Ayubu 42:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ulisema, ‘Ni nani huyu anayepotosha mashauri yangu bila ujuzi?’+

      Kwa hiyo nikazungumza, lakini sikuwa na uelewaji

      Kuhusu mambo yanayonistaajabisha sana, ambayo siyajui.+

  • Zaburi 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Jinsi ulivyotenda mambo mengi sana,

      Ee Yehova Mungu wangu,

      Kazi zako zinazostaajabisha na mawazo yako kutuelekea.+

      Hakuna yeyote anayeweza kulinganishwa nawe;+

      Ikiwa ningejaribu kusimulia na kuongea kuzihusu,

      Zingekuwa nyingi sana kwangu kusimulia!+

  • Waroma 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri wa Mungu na hekima na ujuzi! Jinsi hukumu zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki