Isaya 48:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita. Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+ Ufunuo 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akaniambia: “Yametimia! Mimi ndiye Alfa na Omega,* mwanzo na mwisho.+ Yeyote aliye na kiu nitampa maji bure* kutoka kwenye chemchemi* ya maji ya uzima.+ Ufunuo 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mimi ndiye Alfa na Omega,*+ wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.
12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita. Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+
6 Naye akaniambia: “Yametimia! Mimi ndiye Alfa na Omega,* mwanzo na mwisho.+ Yeyote aliye na kiu nitampa maji bure* kutoka kwenye chemchemi* ya maji ya uzima.+